tag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post2461604231881787645..comments2023-11-02T13:20:38.871+01:00Comments on STRIVE FOR LIFE: Mshukiwa wa Al-Shabab ajeruhiwa DenmarkEDNAhttp://www.blogger.com/profile/09635503380563352597noreply@blogger.comBlogger5125tag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-81052467459647273852010-01-04T08:31:43.194+01:002010-01-04T08:31:43.194+01:00Imani zingine bwana, bora kkukua kiroho. wanauana ...Imani zingine bwana, bora kkukua kiroho. wanauana kulinda imani ambazo hata waanzilishi wake hawazitamani tena<br /><br />labda ni kuppoteza matumaini maishani wakuukamala Lutatinisibwa Lutabasibwahttps://www.blogger.com/profile/06207381893940710959noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-79675319465085227042010-01-03T05:10:51.842+01:002010-01-03T05:10:51.842+01:00Najua Da Edna.
Ndio maana naamini THE WAY YOU SEE ...Najua Da Edna.<br />Ndio maana naamini THE WAY YOU SEE THE PROBLEM IS THE PROBLEMMzee wa Changamotohttps://www.blogger.com/profile/10491704592061579729noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-54572561650748629802010-01-02T21:15:43.477+01:002010-01-02T21:15:43.477+01:00Mzee wa Changamoto kumbuka kuwa binadamu tumetofau...Mzee wa Changamoto kumbuka kuwa binadamu tumetofautiana kifikra unaloliona wewe ni heri mwingine analitazama katika mtazamo tofauti.Wengine hawahujui kama kuna kitu kinaitwa kusamehe.<br />Dada YASINTA nimepokea salam zako, nami nakukaribisha kwa Moyo Mkunjufu.<br />Amani ya Bwana Yesu iwe nanyiEDNAhttps://www.blogger.com/profile/09635503380563352597noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-74110072545759146732010-01-02T15:56:38.763+01:002010-01-02T15:56:38.763+01:00Nimepita kukusalimia nimekuona sehemu karibu sana....Nimepita kukusalimia nimekuona sehemu karibu sana.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-25442464357262176422010-01-02T15:38:58.109+01:002010-01-02T15:38:58.109+01:00Sijawahi kufanya kejeli na imani ya mtu na nadhani...Sijawahi kufanya kejeli na imani ya mtu na nadhani mchoraji alipaswa kuwa makini alipochora ile katuni.<br />Hata hivyo siamini kama fedheha ya katuni inaweza kumtuma mtu kumuua mchoraji kwa kisingizio cha kusimamia imani.<br />Imani inasisitiza KUSAMEHE.Na hapo ndipo kilipo KIPIMO na UGUMU wake. Kuwa tunapokwazwa twahitaji kusamehe na unavyoweza KUSAMEHE unapokwazwa na kubwa zaidi ndivyo unavyohidhihirisha ukomavu wako kiimani. <br />Kwa hiyo kwa mtazamo wa imani HATUTAKIWI KULIPIZA KISASI kwani kwa namna tunavyoweza kuwasamehe, kuwavumilia na kuwaombea watukwazao, ndivyo tunavyojengeka kiIMANI.<br />BlessingsMzee wa Changamotohttps://www.blogger.com/profile/10491704592061579729noreply@blogger.com