tag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post5598128432340493440..comments2023-11-02T13:20:38.871+01:00Comments on STRIVE FOR LIFE: UTAFITI : WANAWAKE WA AFRIKA WANAZIDI KUWA WAFUPI…!!!EDNAhttp://www.blogger.com/profile/09635503380563352597noreply@blogger.comBlogger1125tag:blogger.com,1999:blog-3690682379612450265.post-57430724905134276052011-05-06T18:30:11.322+02:002011-05-06T18:30:11.322+02:00Mvutio wa neno la Kiingereza "petite" (y...Mvutio wa neno la Kiingereza "petite" (yaani "dogodogo") umekwenda wapi huko Uzunguni?<br /><br />Mimi nafikiri: kinyume na mawazo ya hao watafiti, wanawake wa Kiafrika watazidi kuvutia ulimwenguni kote nasi tutapata mashemeji na wapwa kibao kutoka Ulaya, Asia, Amerika...<br /><br /><br />... au nimeipoteza pointi, Jamaani?<br /><br /><br />Kwamfano, sikuona nchi ya Afrika Kusini katika orodha ya watajwa, lakini nchi Ufalme wa Swaziland nimeyiona. Sasa niwaambieni cha kuwashangaza: HAMNA WANAWAKE WANAOSIFIWA KUOLEWA NA WANAUME WA-AFRIKA KUSINI KULIKO WA HUKO SWAZILAND NA NAULIZWA KILA SIKU ETI NILIMPATAPATAJE MKE WANGU WAPILI KUTOKA HUKO MBABANE?...leo nahisi nimepata jawabu!Goodman Manyanya Phirihttps://www.blogger.com/profile/15369122107376580214noreply@blogger.com