Wifi yangu na mama mkwe wake, all the way from Germany
Mimi na wifi yangu,sijui nini kilimfurahisha
The new me
Yanga waalikwa Ikulu kwa chakula cha jioni
1 hour ago
![]() |
Photo Credits: happyholidays2014.com |
![]() |
Hii ni njia ya kuelekea soko hili ikiwa imejaa matope kutokana na kuwa katika kiwango cha changarawe |
![]() |
Baadhi ya wachuuzi wakiwa sokoni hapo kununua mahitaji yao lakini mazingira ya soko hayaridhishi kutokana na uchafu uliokithiri hapo na kuhatatrisha afya za walaji wa bidhaa |
![]() |
hali halisi inavyonekana sokoni hapo baada ya mvua kunyesha |
![]() |
Msimu huu wa mvua unasababisha kero hii kwa baadhi ya wateja hata wafanyabiashara sokoni |
![]() |
hali hii pia ni kero kwa watembea kwa miguuu sokoni hapo |
![]() |
Picha zote na mdau Wito Msafiri wa Mwanaharakati Mzalendo Blog |
MH.Mangula akibadilishana mawazo wadau Joel Kayombo na Shauku Kihombo ambao wapo nchini humo kwa masomo katika moja ya vyuo vinavyopatikana mjini Beijing China |
![]() |
watoto yatima wakipata chakula pamoja na makamu balozi wa Zambia Bi Elizabeth Phill na wafanyakazi wa tigo toka tawi la Mliman city |
![]() |
Makamu balozi wa Zambia bi Elizabeth Phill akifurahia jambo na mmoja wa watoto toka kituo hicho cha Mwandaliwa Islamic orphans and homecare kilichopo MBWENI |
![]() |
![]() |
Mmiliki wa kituo cha watoto yatima cha Mwandaliwa islamic orphans and homecare bi halima ramadhani akiwa na mmoja wa watotoyatima wanaotunzwa na kituo hicho |
![]() |
Mmiliki wa kituo hicho cha watoto yatima bi halima ramadhani akiwa katika picha ya pamoja na makamu balozi wa ZAMBIA NA wafanyakazi wa tigo toka tawi la MLIMANI CITY baada ya kusherekea mwaka mpyaa |
![]() |
Makamu balozi wa Zambia bi elizabeth phill akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo hicho PICHA ZOTE NA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG |