MMMMhhhh kibao murwaaaaaaaaaaaaa kwelikweli yaani ungeona hapa wote hapa nyumbani tumejipanga kwa kucheza mpaka hoi na ukizingatia leo ni jumamosi....
Hahaaa siwapatii picha,jumamosi njema.
kiburudisho MURUA hiki!:-(Ila sijui kwanini kinanikumbusha ngoma kadhaa za zamani kidogo za KISAUZI na pia yule paka mashuhuri kwenye kinanda chake kwenye KEY nyingine...http://www.youtube.com/watch?v=J---aiyznGQ
Hahaaa! nimeangalia Simon,kumbe wamemuiga paka...lol
MMMMhhhh kibao murwaaaaaaaaaaaaa kwelikweli yaani ungeona hapa wote hapa nyumbani tumejipanga kwa kucheza mpaka hoi na ukizingatia leo ni jumamosi....
ReplyDeleteHahaaa siwapatii picha,jumamosi njema.
ReplyDeletekiburudisho MURUA hiki!:-(
ReplyDeleteIla sijui kwanini kinanikumbusha ngoma kadhaa za zamani kidogo za KISAUZI na pia yule paka mashuhuri kwenye kinanda chake kwenye KEY nyingine...http://www.youtube.com/watch?v=J---aiyznGQ
Hahaaa! nimeangalia Simon,kumbe wamemuiga paka...lol
ReplyDelete