Msanii wa filamu Tanzania nayekuja kwa kasi ya ajabu Auntie Ezekiel, jana ilikuwa siku yake ya kuzaliwa,blog ya STRIVE FOR LIFE inakutakia maisha marefu na Mwenyezi Mungu akuzidishie miaka mingi zaidi.by the way mlipendeza sana wadada.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment