
Ama kweli life is not fair, kuna watu wanatumia mamilioni ya fedha kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi Mbwa na bado matumizi ya kila siku ya huyo mbwa, at the same time kuna watu ambao wanaishi kwa neema ya Mungu Hawajui watakula nini, watavaa nini.WE ARE LIVING IN A CRAZY WORLD.
0 comments:
Post a Comment