
Kwa mara nyingine mwakilishi wa Big Brother Africa Elizabeth amechaguliwa kutoka,hivyo waTanzania wote nje na ndani ya nchi munaombwa kumpigia kura za kutosha ili aweze kuwepo ndani ya jumba hilo.
Hapo anaonekana ameshika Bendera ya Tanzania akiwa na Masanii maarufu kutoka Marekani KERI HILTON.
0 comments:
Post a Comment