Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday, 23 October 2009

MIDUME KUTOKA KENYA YAFUNGA NDOA LONDON



Ukiataajabu ya Musa utayaona ya Filauni,Hao wanaume hapo juu Daniel Chege Gichia kushoto mwenye ndevu,yeye ndiye Bwana harusi akiwa na bibi harusi Charles Ngeki wakati wa ndoa yao iliyofanyika 17 October 2009,ilikuwa ni ya kwanza miongoni mwa wa Wakenya wanaoishi LONDON.Watu takribani 100 walihudhuria sherehe hiyo,walinda mlango walizua kuingia wapiga picha wakihofia picha hizo zingefika kwenye magazeti ya Kenya.

0 comments: