Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Wednesday 25 November 2009

MICHELE OBAMA LOOKING GLAMOROUS


The first Lady Michele Obama akiwa amevalia Gown refu a.k.a (floor length),hii pengine ni tofauti na vile tulivyozoea kumuona, if you take closer look utaona hata style ya nywele pia ni tofauti.Nguo hii imebuniwa na Mwanamitindo aitwaye Naeem Khan Michele alitoka hivyo kwenye kwenye Obama administration official first Dinner iliyofanyika white house jana.

Huyu ndiye aliyebuni nguo ya Michele Obama.He is an American Indian,mbali na hiyo ameshabuni nguo za wanamuziki maarufu kama Beyonce,Jennifer Lopez,Carrie underwood na pia alidizaini costume za Movie ya *DREAM GIRL* ya 2006.

0 comments: