So far so good, bongo Yetu inazidi kung`ara na majengo Mapya, jengo hili lipo katika makutano ya morocco ambako zamani kulikuwa na jengo la Gogo hotel.Inapendeza kwa kweli.Picha kwa hisani ya Ray The Greatest.
5
comments:
Anonymous
said...
hilo ni jengo ambalo ndio litakuwa makao makuu ya kampuni ya simu Zain
Tatizo ni kuwa mng'aro huu uko juu na haujali yaliyo chini. Bongo inang'aa kwa majengo lakini hawarekebishi mifumo ya majitaka. Sijui haya majengo yote yanaungwa kwenye mabomba gani ya kupeleka uchafu? Bongo inang'aa kwa "vikwangua anga" lakini hawaongezo uzalishaji wa maji safi. Matokeo yake maji yanapatikana masaa 2 ama moja kwa siku. Bongo inaongeza maghorofa lakini hakuna anayepanua barabara, kuongeza daladala wala kufikiria sehemu za maegesho. Nadhani BONGO INAZIDI KUNG'AA KWA KUWA INAPAKWA MAFUTA BILA KUOSHWA. Siku ikija kugundulika kuwa wanatumia mifumo ya majitaka ya miaka ya mkoloni, ndio watakapojifunza kuwa Dar imekalia bomula vinyesi na mikojo. Ikizibaaaaaaaaaaaaaa!!!! Tutawaona CNN wakiogelea "makimbani"
Nakubaliana na wewe mzee wa changamoto asilimia zote,wanajenga majengo mazuri yenye kuvutia lakini utakuta hakuna parking....hiyo ndiyo Bongo bwana mambo ni shaghala bagala.
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
5 comments:
hilo ni jengo ambalo ndio litakuwa makao makuu ya kampuni ya simu Zain
Mdau
Haninge
Asante kwa taarifa Mdau wa Haninge, hata nilikuwa sijui
kumbe hata mie nilikuwa sijui hii habari. Na Da Edna ni kweli Bongo inazidi kungára ngára...
Tatizo ni kuwa mng'aro huu uko juu na haujali yaliyo chini.
Bongo inang'aa kwa majengo lakini hawarekebishi mifumo ya majitaka. Sijui haya majengo yote yanaungwa kwenye mabomba gani ya kupeleka uchafu?
Bongo inang'aa kwa "vikwangua anga" lakini hawaongezo uzalishaji wa maji safi. Matokeo yake maji yanapatikana masaa 2 ama moja kwa siku.
Bongo inaongeza maghorofa lakini hakuna anayepanua barabara, kuongeza daladala wala kufikiria sehemu za maegesho.
Nadhani BONGO INAZIDI KUNG'AA KWA KUWA INAPAKWA MAFUTA BILA KUOSHWA.
Siku ikija kugundulika kuwa wanatumia mifumo ya majitaka ya miaka ya mkoloni, ndio watakapojifunza kuwa Dar imekalia bomula vinyesi na mikojo.
Ikizibaaaaaaaaaaaaaa!!!!
Tutawaona CNN wakiogelea "makimbani"
http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/09/tanzania-yangu-ijengayo-ghorofa-bila.html
Nakubaliana na wewe mzee wa changamoto asilimia zote,wanajenga majengo mazuri yenye kuvutia lakini utakuta hakuna parking....hiyo ndiyo Bongo bwana mambo ni shaghala bagala.
Post a Comment