Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday 3 January 2010

RIHANNA`S NEW YEAR`S RESOLUTIONS


Ni jambo la kumshukuru Mungu unapopata nafasi ya kuweza kuuona mwaka Mpya kwani ni wengi walitamani kuuona ili waweze kutimiza malengo waliyokuwa wamejiwekea kuyatimiza kwa mwaka huu lakini hawakuweza,so sisi tuliopata bahati ya kuuona mwaka natumaini tuna malengo na mikakati ya kutekeleza mwaka huu 2010 and this is what we call new year resolution,The R&B singer Rihanna has made several new years resolutions that she intends to keep,She said: “I want to stop shopping, being late, start waking up early, stuff like that.

0 comments: