Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday 17 January 2010

THE UGALIIIIIIZI!!


Hili nguna linaenda kwa mboga ya aina yeyote halina ubaguzi,Kwa mrenda sawa,maharage poa,nyama ya kuku,ng`ombe twende.Mimi linashuka sawa sawa na nyanya chungu zile za uchunguuuuu kabisaaaa! zikichanganywa na nyama ya ng`ombe utamu wake unausikilizia hadi kisogoni.....Ooooh i badly miss this thing.

4 comments:

John Mwaipopo said...

sure. i imagine your position. you really must be missing ugali. lol.

EDNA said...

Yap Jonh! really miss ugali.

mumyhery said...

Mimi hilo nalila na dagaa walio kelea limao na pilipili halafu na kisamvu cha karanga kilicho changanywa na nyanya chungu we acha tu

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Umenikumbusha kwa mama Ntilie a.k.a mama lishe. Nikifika Bongo tu kazi yangu ya kwanza ni kutafuta penye genge zuri wanapouza supu nzuri ya makongoro na mikia ya ng'ombe. We acha tu!

Inasemekana kwamba sisi Wasukuma ndiyo tuligundua ugali!