Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday 8 January 2010

Uganda Kutowanyonga Mashoga!


Mswada mpya nchini Uganda unaotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsia moja unatarajiwa kuondoa kipengele cha hukumu ya kifo dhidi ya watu hao.
Wabunge wa chama tawala hata hivyo wamesisitiza kwamba mswada huo ambao unapendekeza adhabu kali utawasilishwa mbele ya bunge hivi karibuni.

Baadhi ya nchi za magharibi zimepinga mswada huo ikiwemo Marekani.

Sweden imetishia kuondoa msaada kwa Uganda ikiwa mswada huo utaptishwa kuwa sheria.

0 comments: