Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Saturday 13 March 2010

BLACK AND WHITE TWINS!

Ryan and Leo.

Ryan and Leo with their parents.

Ni mara chache sana watoto mapacha kuzaliwa wakiwa na rangi tofauti za ngozi zao, au pengine haijawahi tokea kabisa. Watoto Ryan na Leo wameushangaza ulimwengu baada ya kuzaliwa na rangi tofauti za ngozi zao.Mama ni Raia wa Ghana na baba ni raia wa German.

5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Kama ni kweli kwa kweli ni ajabu,Je tutajuaje kama ni kweli? Hatuna uhakika kama ni kweli.

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

geneticists - tuambieni. Hili linawezekana?

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

sisi waamini wa dini kama wanasayansi mtasema kuwa haijawahi TUTASEMA NI MUUJIZA...lol

Yawezekana walikuwa wamewekeana nadhiri na nadhiri hiyo kutokana na nguvu za maumbile imekuwa....

Si unaweza kukuta baba na mama wanasema akizaliwa mtoto wa kike afanane na mama ama baba na kinyume ch na kweli huwa?

Kwa hiyo hakuna cha kushangaza kwa kuwa baba na mama wamejizaa kivyao!!!

kimbembe ni pale vitakapokua na kujiuliza 'wewe mbona huna rangi kama yangu' japo twashea titi moja?....lol

Anonymous said...

NIKWELI NA NIMDA MREFU MWANA MAMA HUYO ALIZAA MAPACHA HAWO NILIWAONA MARA YA KWANZA KWENYE TV HAPA GERMANY!

Faith S Hilary said...

that is very very very veeeery weird...in a good way though..