Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday 6 April 2010

DO WOMEN TALK TOO MUCH?

Hivi ni kweli asilimia kubwa ya wanawake wanaongea sana? Nimekuwa nikisikia nakuona wanaume wakisema usithubutu kubishana na mwanamke bwana, wewe ukiongea maneno mawili yeye tayari kashaongea kumi.....Sasa ni nini husababisha wakaongea sana? au nikuto kujiamini tunatumia maneno kama defensive mechanism? Wanaume tujuzeni maana huenda ndio mnajua zaidi udhaifu wetu katika hili.


3 comments:

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

Edna, kwani baba watoto anasemaje kuhusu weye?...lol

Muulize utapata jibu.

As to why: nadhani akili za wamama/wadada zinafanya kazi mara 2 zaidi ya wababa/wakaka inapokuja suala la hoja...lol

EDNA said...

Hhahah Chacha wewe! hajasema kitu ameguna tuuuuu, sasa sijui amemaanisha nini.

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

pengine amemaanisha kuwa weye ni chiriku....lol