JE WAJUA KUWA MAHALI UNAPOISHI INAWEZA KUWA SABABU YA KUMKOSA YULE UMPENDAYE?
Tatizo kwetu Mbagala ukaona Mapenzi siwezi,Anaitwa Diamond ni kijana anayekuja kwa kasi ya hali ya juu katika muziki wa Bongo flava....Nakutakia kila raheli, kaza buti usilewe sifa.BIG UP.
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
3 comments:
Edna! ahsante sana kwa ujumbe huu! nilikuwa sijamsikia mwanamziki huyu, anaimba kweli unajua kuyaweka maneno vizuri.
Da Edna: Nikifuata kichwa cha habari, nadhani ni ujinga kabisa kukosa umpendaye kwa sababu eti sehemu unayotoka/kukaa haifai.
Nasema ni ujinga kwa kuwa ukimpenda mtu hata kama uko namna gani utampata tu.
kama msichana anapenda mtu ambaye ana nafasi ktk jamii basi hapo hakuna upendo, ni ile mambo ya 'hapendwi mtu hapo, pochi tu'
Na mkaka/mbaba atakayeshindwa/kuogopa kumtokea mdadada/mmama ati kwa kuwa anatoka eneo duni/ama ni masikini hata kama amemchunuku ni USHAMBA/UJINGA.
Huko ni kutojiamini kwa kiwango kikubwa tu.
Da Yasinta ni kweli kijana anaimba.
kaka Chacha mapenzi ya kweli yalikuwepo enzi hizo na si sasa, siku hizi mapenzi ni pesa.
Post a Comment