Nilitazama kipindi kizima katika Science Channel juu ya mabinti hawa. Wanasayansi walikuwa wanashangaa wakati mabinti hawa walipokuwa wakijifunza kuendesha gari. Waliweza na walipata leseni yao bila matatizo. Kipindi kilizungumzia maswali mbalimbali likiwemo la ngono na kifo. Mmoja akifariki itakuwaje? Ajabu kweli!
Kilichonifurahisha ni kwamba mabinti wenyewe wana maisha ya furaha tena ya kawaida japo wanahitaji usaidizi mdogo hapa na pale. Halafu nikajilinganisha nao na kugundua kwamba sisi wengine pengine hatuna hata haki ya kupiga makelele na kulalama kwa vitatizo vyetu vidogo vidogo tunavyopambana navyo.
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
4 comments:
nikitaka kuoa ntamuoa yupi kati ya hao?
Kama ni wote wakizaa mtoto atakuwa wa nani ama nani atasikia uchungu zaidi ya mwingine?
Ama kweli hujafa hujaumbika na Mungu ashukurie kwa kila jambo!
Chacha unaooa wote,mtoto atakuwa wa wote.Nahisi na uchungu watasikia wote.....kweli hujafa hujaumbika.
Ama kweli Mungu wa ajabu. Jana nilipokuwa kazini nilikuwa naangalia TV wakionyesha mtoto aliyezaliwa na miguu sita kutoka India.
Nilitazama kipindi kizima katika Science Channel juu ya mabinti hawa. Wanasayansi walikuwa wanashangaa wakati mabinti hawa walipokuwa wakijifunza kuendesha gari. Waliweza na walipata leseni yao bila matatizo. Kipindi kilizungumzia maswali mbalimbali likiwemo la ngono na kifo. Mmoja akifariki itakuwaje? Ajabu kweli!
Kilichonifurahisha ni kwamba mabinti wenyewe wana maisha ya furaha tena ya kawaida japo wanahitaji usaidizi mdogo hapa na pale. Halafu nikajilinganisha nao na kugundua kwamba sisi wengine pengine hatuna hata haki ya kupiga makelele na kulalama kwa vitatizo vyetu vidogo vidogo tunavyopambana navyo.
Post a Comment