Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday 16 April 2010

WABUNGE NA VITUKO BUNGENI!

INDIA...... unakumbuka hii style ya kichapo? inaitwa Bush Style hahaaa.
TURKEY .....Mbunge akisulubiwa
MEXICO..... Mbunge anachukua mkong`oto.
JAPAN .....watu wanahasira wanatamni wammeze.
TAIWAN
RUSSIA.....
Tanzania je? kama wajua style ya wabunge wetu tafadhali tuambiane.

3 comments:

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

Tz ni kucheza na tunguli kuzunguka mjengo.....lol

chib said...

Tanzania itakuwa nafuu. Najaribu kufikiria kama ingekuwa ni Afghanistan au bunge la Alshabab la Somalia, maana kila mtu ana mtutu, sasa sijui ingekuwaje!!

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Nyongeza kwa Chacha...

Tz ni staili kama ya Uchina. Tazama hapa:

http://matondo.blogspot.com/2010/03/lini-zitapigwa-bungeni-chimwaga-staili.html