Shy-Rose Bhanji (CCM)
Nakaaya Sumari (CHADEMA)
Joseph Mbilinyi( a.k.a Mr 2) (CHADEMA)
Januari Makamba (CCM)
Inaleta faraja kuona vijana wameamka na kuwa na machungu na Taifa Letu La Tanzania ambalo linaelekea kupotea kutokana na uongozi mbovu uliopo sasa, haikuzoeleka hivi miaka kadhaa iliyopita kuona kijana anajitokeza kuwania nafasi yoyote ya Uongozi, sijui ilikuwa ni uoga au kutojimani.Binafsi naamini endapo watapata nafasi wataleta mabadiliko makubwa Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment