Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday 30 January 2012

Mmmmh! yam yam mchana mwema wadau.

Uwii hii kitu nimeimiss saaana...hapa udenda unanitoka.

7 comments:

Rachel Siwa said...

Dadake unaniuaaaaa, duhh wewe mgomvi sana!!!!!!siagi hapa.

Yasinta Ngonyani said...

kwa kweli tupo wengi ambbao tumemiss kitu hii halafu umenikumbusha chips mihogo na kachumbali mweeehhh!!

EDNA said...

Hahahaaa Da Rachael nimejua we mdhaifu kwa mambo haya ndio maana nikakuringishia.
@Da Yasinta wee acha tu, hunishindi mimi.

Yasinta Ngonyani said...

Hahahaha! unasema ww kuwa Edna mgovi na ww je tukuite nani...LOL eti huagi hata usipoaga ushachelewa mie nimewahi si unajua sisi majirani:-)

Rachel Siwa said...

hahahahahah da'Yasinta tena nimevisikia vicheko vyenu wewe na da'Edna, nikasema hata sigongi hodiii hapa nimeliwa mimi/nimechelewaaaaa,tehtehthet jamani da'Yasinta unampendelea da'Edna kwasababu yupo jirani,yeye ni MGOMVI SANA!!!!!!NIMEZILAA/KUSUSA HATA UNIBEMBELEZIIII?

EDNA said...

hahahaa lazima anipendelee jirani yake,akinikorofisha ataomba chumvi wapi?

chib said...

Ninakunywa maji na kuangalia picha hii, nahisi njaa ndio inazidi badala ya kupungua