Huyu naona alimkumbuka Beyonce.
2nd-GREAT-GRANDCHILDREN OF SWAZI-NOBLEMAN SOMNJALOSE SIMELANE
-
*1SIGEYEZA,2FOLOZI, 3LOMANYAZA4MBANDZENI*
Your relatives are no laughing matter, Lass!
my last-born child, 2010-born Tamara Sibusisiwe Phiri
laughing everyth...
2 months ago









4 comments:
Mimi kama mzazi nimechoka, ndio umejinyima, umetukanwa na hawa watu toka bara hindi, ili mwanao asome, halafu ndio anajibu hivyo...jamani kuna kazi kweli.
Hebu muulize list ya timu yake, uone atapata mia kwa mia...hebu muambia aandike wimbo wa bongo flava uone, atapata mia kwa mia, lakini kile ambacho ni muhimu katika maisha yake...kwake ni kero...baadaye tunajenga taifa gani, halafu mimi nilimuona jamaa alidunga zero kidato cha sita, sasa hivi ni mkurgenzi mahala fulani baada ya kupeneyzwa na baba kwenda kusoma huko majuu, sasa hapa sijuii inakuwaje...
Mwanakwetu kwema?nimeona kimya sana,Nawatakia kila la kheri na baraka.
Emu-three ndio kizazi chetu cha sasa upuuzi unaopewa kipaumbele kuliko yaliyo muhimu,ila wanasema fainali uzeeni.
Da Rachael mwanakwetu asante sana kwa kujali,nimepata faraja sana kuona kwamba kuna watu wananijali.
Anyway mie mzima wa afya sema nimetingwa kidogo kwa sasa,ila nitakuwa naupdate pale nitakapopata nafasi.
Pamoja sana mwanakwetu!!nashukuru kama uko vyema
Post a Comment