Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday 19 October 2012

HALI SI SHWARI TANZANIA.

  Polisi wakipiga mabomu eneo la kariakoo kuwatawanya waumini wa kiislam wanaotaka kuandamana.
 Tayari watu 85 wamekamatwa na jeshi la polisi.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Tuepushe na balaa hili.Watanzania sifa yetu ni amani.

0 comments: