Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday 1 November 2012

MASWALI KWA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI NOVEMBER 2012

Saa tatu kamili mpaka na nusu leo asubuhi Bungeni Dodoma 104.4 kulikua na kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri mkuu Mizengo Pinda ambapo pamoja na maswali aliyojibu ni kuhusu vigogo wa nchi kuwa na mamilioni ya pesa nje ya Tanzania, vurugu za kidini na mengine, msikilize hapo chini ambapo swali swali la kwanza liliulizwa na Mh Freeman Mbowe.


HABARI NA PICHA KWA HISANI YA MILLARD AYO BLOG.

0 comments: