Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday 2 January 2014

MAKAMU BALOZI WA ZAMBIA NA WAFANYAKAZI WA TIGO WASHEREKEA MWAKA MPYA NA WATOTO YATIMA

 Baadhi ya wafanyakazi kampuni ya simu Tigo  toka tawi la Mliman City wakiwa katika picha ya pamoja na watoto yatima toka kituo cha Islamic orphans home care kilichopo Mbweni wilaya ya Bagamoyo ambapo walipata chakula cha mchana na kutoa baadhi ya misaada kwa ajili ya watoto hao wanaolelewa katika kituo hicho wakishiriiana na makamu balozi wa Zambia Bi Elizabeth Phill


watoto yatima wakipata chakula pamoja na makamu balozi wa Zambia Bi Elizabeth Phill na wafanyakazi wa tigo toka tawi la Mliman city








baadhi ya watoto kutoka kituo hiki cha mwandaliwa wakiwa na sura za furaha baada ya kufarijiwa na ujio wa wafanyakazi wa tigo na makamu balozi wa zambia bi elizabeth phill


Makamu balozi wa Zambia bi Elizabeth Phill  akifurahia jambo na mmoja wa watoto toka kituo hicho cha Mwandaliwa Islamic orphans and homecare kilichopo MBWENI






Mmiliki wa kituo cha watoto yatima cha Mwandaliwa islamic orphans and homecare bi halima ramadhani akiwa na mmoja wa watotoyatima wanaotunzwa na kituo hicho


Mmiliki wa kituo hicho cha watoto yatima bi halima ramadhani akiwa katika picha ya pamoja na makamu balozi wa ZAMBIA NA wafanyakazi wa tigo toka tawi la MLIMANI CITY baada ya kusherekea mwaka mpyaa


Makamu balozi wa Zambia bi elizabeth phill akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa kituo hicho 
PICHA ZOTE NA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG

0 comments: