
Hivi hili tatizo la mgao wa umeme litaisha lini Tanzania? ni kweli Serikali inashindwa kutatua tatizo hili? tutafika kweli kwa staili hii? wenzetu wanajenga barabara chini ya bahari, sisi hata hili la umeme linatushinda.Hivi hawa viongozi wetu hawana hata chembe za wivu wa maendeleo? inasikitisha na kukera sana.
0 comments:
Post a Comment