Hapa nilikuwa najikuna mara nikastukia kitu kimeshamulika hahaaa ..... Don`t touch my hair hahaaa.....Hii kazi ya kupiga picha imenifanya mpaka nikachelwa buss leo.
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
4 comments:
Wakati mwingine ni raha kupigwa picha kuwa mwanamtindo kwa siku moja. Raha jipe mwenyewe pia anza kujipenda mwenyewe. PAMOJA DAIMA!!!
Umependeza sana EDNA!Mtoto mzuri kweli wewe!Kwenye mabano: udenda mentoka.:-)
Yasinta kweli raha jipe mwenyewe,ukisubiri upewe utasubiri milele.
...Hahaaa Mtakatifu unavituko kweli wewe...Asante sana.
shost ulipendeza pia mapozi yametulia
Post a Comment