
Unene ni marufuku Japan,Serikali ya Japan imetangaza kuwa unene ni kosa la jinai na mtu yeyote haruhusiwi kunenepa ovyo.Ili kufanikisha zoezi hilo Serikali ya Japan imetoa mikanda maalum amabayo ina vipimo maalumu,mtu yoyote hatatakiwa kunenepa kupita kipimo kilichowekwa.wanafanya hivyo ili kuepuka madhara yatokanayo na unene.
Mmmmmmmh hii nimeipenda.
0 comments:
Post a Comment