Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday, 12 November 2009

NAOMI CAMPBELL NDANI YA BONGO DAR ES SALAAM


Mwanamitindo maarufu Duniani Naomi Campbell yupo Tanzania kwa ajili ya Charity Project, ambayo imeandaliwa na First Lady wa UK Sarah Brown kwa ajili ya Kuchangisha mfuko wa kusaidia watoto Yatima.Usiku wa leo atapanda Jukwaani na kuonyesha mitindo katika Hotel ya Movenipick.Kiingilio kitakuwa 200USD.

0 comments: