Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday 1 March 2010

70`S FASHION IS BACK!


Nimegundua kuwa kizazi cha sasa hakina jipya when it comes to fashions. ..Fashion zimekuwa zikijirudia rudia zile zile zilizokuwa miaka ya nyuma, hivi ndio kusema ubunifu umetushinda mpaka tukopi zile walizobuni wenzetu? Hii hair style ilikuwa miaka ya 70-80 if not up to 90`s ilikuwa ikiitwa Pank, lakini sasa imerudi na tunaiita Rihana Style.....Mmmmmmh Rihana kazaliwa kaikuta.

6 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Kweli kabisa mitindo ya zamani yote inarudi umenikumbusha miaka ile nilipokuwa mdogo ukiona mtu amevaa viatu virufu(Raizoni) tulikuwa tunaziiita na suruali pana miguuni(Mabwanga)

MARKUS MPANGALA said...

Hooooooooooooooddddddddddddiiiiiiiii hapa wenyewe mpooooooo

NIMEPITA KUWASALIMIA TU KARIBUNI SANA NYASA(www.lundunyasa.blogspot.com) na karibuni tujadili(www.fananinyasa.blogspot.com)

kazi njema

EDNA said...

Hahaaa da Yasinta umenikumbusha mabwanga na raizoni,MARKUS karibu sana wenyewe tupo twakukaribisha,Na tutakaribia Nyasa.

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Haya ni mambo yenu vijana. Sisi wazee hatumo!

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

Matondo: mambo ya vijana ni yapi ya wazee ni yapi? isijekuwa yale uyasemayo ya vijana ndo wakawa wanayafanya wazee...lol

Ama hujawahi kukuta kijana ana BUSARA zaidi kuliko MZEE?

Masangu Matondo Nzuzullima said...

Ng'wanambiti - nilikuwa najizungumzia mimi na hiyo staili ya kunyoa na SI mengine!

Nawajua wazee-vijana makwarukwaru ambao wanaweza kuwazidi hata vijana kwa "kuruka viwanja" na ....