Jamani i really like fishing,I h´ve tried so many times to catch a fish lakini holllaaa. Kama wewe wajua mbinu za kukamata samaki tafadhali niambie,will appreciate.
uuuuuuh ungeniita dada...then tungeenda kufukua nyungunyungu!! (worms) hahahha! lazima kuwe na chambo la sivyo samaki hawakujui kabisa! I always wanted to try fishin bt never done it...this is cool!
Sasa kama hujaweka chambo, unafikiri utapataje samaki? Na ukibahatika kupata samaki, utawapeleka nyumbani, kuwasafisha, kuwapika na kuwala au utawarudisha tena majini baada ya kuwajeruhi mataya yao?
Ukipata lisamaki likubwa utaweza kweli kupambana nalo mpaka ulitie mtumbwini?
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
7 comments:
yaani wewe!
weka chambo kama hujaweka hakuna samaki
na lazima uangalie hicho kiboya kidogo kinachokuonesha kama samaki alakula chambo ama la
ukiona kinachezacheza kama vile kudonoa donoa unafyatua. Hopeful ITANASA :-)
Edna visste inte att du tycker om att fiska.
Haya bwana ukipata nitupieko kamoja. Na Edna ha det bra helg!!
Ja!Da Yasinta jag tycker mycket om att fiska.Men jag har inte fått upp någon fisk ännu.
FOUNDATION:Asante kwa ushauri, kweli sijawahi kuweka chambo labda ndio sababu.
uuuuuuh ungeniita dada...then tungeenda kufukua nyungunyungu!! (worms) hahahha! lazima kuwe na chambo la sivyo samaki hawakujui kabisa! I always wanted to try fishin bt never done it...this is cool!
weeeeeeeee umenikumbusha kwetuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Nyasa hadi raha jamani
Sasa kama hujaweka chambo, unafikiri utapataje samaki? Na ukibahatika kupata samaki, utawapeleka nyumbani, kuwasafisha, kuwapika na kuwala au utawarudisha tena majini baada ya kuwajeruhi mataya yao?
Ukipata lisamaki likubwa utaweza kweli kupambana nalo mpaka ulitie mtumbwini?
Naona sasa maswali yametosha...
Chambo muhimu ingawa pia kama hujui mbinu wanaweza kukitafuna na samaki usipate
Ukiona boya linacheza unazungusha kuvuta juu mshipi wako
Post a Comment