Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday 27 July 2010

HII KWAKO WEWE ULIYEKATA TAMAA YA KUOLEWA AU KUOA.


Henry Kerr 97 na Valerie Berkowitz 87 raia wa uingereza huenda wakawa ni watu waliovujunja record kwa kuoana wakiwa na umri Mkubwa(vikongwe) mmmmh kweli mapenzi hayana umri.Kilichonifanya niweke hii post ni kuwapa faraja wale wote waliokata tamaa ya kuolewa au kuoa kutokana na umri wao,nina rafiki yangu yeye ana miaka kama 35 yeye ameshakata tamaa kabisaaaa ya kuolewa kwa kuwa anaona umri wake umeshasogea sana na kila anayekuwa naye anamchezea tuu alafu anatokomea.... i always encourage her It is never too late to get married.

2 comments:

chib said...

:-)

o'Wambura Ng'wanambiti! said...

Kumbe nami naweza kupata eh!!!!!

:-)