Thursday 1 July 2010
USHAWAHI KULA MTORI WEYE?
Nilikuwa na rafiki yangu mchaga enzi hizoooo! yeye bwana ilikuwa kila ukimtembelea kwake msosi ni Mtori,mwenyewe alikuwa akichanganya viazi,ndizi,nyama na vikolombwezo vingine kibao hata majina sikumbuka,ukianza kula utamu wake unausikilizia hadi kisogoni.I miss you so much girl hope to see you sometime in future.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
5 comments:
Nshawahi! Ila nafikiria sasa mtori wa BILA nyama wala samaki ;-)
Chacha umeanza mambo yako, Nyama ilikuwepo ila Samaki ndio mmmmh sijawahi kujaribu.
sisi wazee wa kazi, mtori ni sawa na maji ya kusukutua mdomo wakati unasubiri chakula!!
kama viko huko vikorombwezo vyote jaribu kuweka salmon uone utamu wake....lol
Chacha hiyo sasa itakuwa futari si mtori tena. Au kwanini usiweke karanga tu..lol
Post a Comment