Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday 3 August 2010

MBINU MPYA YA WIZI.


Huyu jamaa ana bahati sana, hivi wananchi wangeamua kujichukulia sheria mikononi kama ilivyo kawaida yao si angeshakuwa Marehemu? Alafu hana hata wasiwasi anaongea kwa kujiamini utafikiri alilofanya ni jambo jema.
Video kwa hisani ya Blog ya Kennedy.

1 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Jamani! kaazi kwelikweli