Bogota Colombia,ndege Boeing 737 (Colombian Airline)iliyokuwa na abiria 131 imeanguka na kumegekeka vipande vitatu ilipokuwa ikijiandaa kutua...cha ajabu ni mtu mmoja tu ndie amepoteza maisha kwangu mimi naweza ita ni muujiza...Mungu na ashukuriwe.
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
4 comments:
kweli ni miujiza, kila kitu kinaongozwa na Mungu.
Mie naita ni bahati kweli kweli. Pigo kuu ni kwa familia ya mtu aliyepoteza maisha.
Kweli hiyo ni miujiza ya Mungu
Chaa ajabu unaweza kukuta huyo mtu mmoja aliyefariki ndiye aliye sali asafiri salama kabla ya safari.:-(
Post a Comment