Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Wednesday 8 December 2010

MY SEND OFF!


Rafiki yangu nakupenda sana ndio maana nikaomba uwe shahidi wa ndoa yangu.
Wachumba wakipelekewa cake hehehe
Sasa hii cake tunaipeleka wapi? mimi nshachoka bwana kama vipi tuile wenyewe lol...
Soooo innocent

Wapoleeeeeeeeee
tukiwapa mkono wa shukrani wazazi

Mtu wa cake akitupa maelekezo jinsi ya kukata cake
Baba na mama waipokea cake

Asante sana mwanetu kwa cake hii







5 comments:

Yasinta Ngonyani said...

hakika inapendeza nasikitika sikuweza kuwa nawe. Ila Edna HONGERENI SANA.

EDNA said...

Asante sana Dada Yasinta.

Anonymous said...

hongera bibie.

Anonymous said...

Hongera mamaa.
Mungu akuongoze

Upepo Mwanana said...

Hongera sana Dada Edna!!
Sikupata fursa tu, ningekuwepo jamani!!