ATI MTU MWEUSI UWEZO WAKE WA KUFIKIRI NI MDOGO?HAKUNA TULICHOVUMBUA AU KUTENGENEZA NA KAMA KIPO BASI MZUNGU ALISAIDIA KUFANIKISHA?
I ran across this video accidentally and i was shocked to hear what this preacher is saying about black folks and i found it very offensive against black people, this guy needs to sit down and really read a book on black history, check it out for yourself...
Mimi amenikosha mchungaji huyu. Mahubiri yake pumba tu tena ya kuchekesha kabisa, lakini cheche moja ipo anaposema Mswahili naye ajirudi na arejee kwa Mungu.
Hapo ninaye kabsa na nahisi ndipo ujumbe wake (kumrejea Mungu) ulipolenga badala ya historia ya Mswahili (ambapo hajui lolote yule ikiwa hata maandishi yaligunduliwa na Waswahili hapa-hapa Afrika (Kusini) kabla ya Misri, Mesopotamia au Ulaya miaka zaidi ya 6000 iliepita!
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
2 comments:
Duh! unasikiliza mpaka mchozi unadondoka bila kupenda ...napata hisia kama yeye ni mbaguzi vile...
Mimi amenikosha mchungaji huyu. Mahubiri yake pumba tu tena ya kuchekesha kabisa, lakini cheche moja ipo anaposema Mswahili naye ajirudi na arejee kwa Mungu.
Hapo ninaye kabsa na nahisi ndipo ujumbe wake (kumrejea Mungu) ulipolenga badala ya historia ya Mswahili (ambapo hajui lolote yule ikiwa hata maandishi yaligunduliwa na Waswahili hapa-hapa Afrika (Kusini) kabla ya Misri, Mesopotamia au Ulaya miaka zaidi ya 6000 iliepita!
Post a Comment