Kipindi kipya kinachoitwa MKASI kinafanyika kwenye masaloon mbalimbali Bongo. kinarushwa East Africa TV,kikiongozwa na Salama Jabir,
Mgeni kwa siku hiyo alikuwa Irene Owoya.
Tazama video hapo juu.
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
7 comments:
Basi wengi wataliwa na mkasi tu! Subiri na utaona! (Ila mie sipati VOLUME na sijui kwa nini)
Kaka Manyanya umenickesha" Basi wengi wataliwa na mkasi tu" Na kweli wacha tusubiri tuone watu wakiliwa na mkasi.Pole na tatizo la volume.
Dunia ya Utandawazi,Asante da'Edna
Asante!
Uchokozi kidogo:
Ila si enzi za MANGWAIR na wimbo wake ule wa MIKASI -neno MKASi maana yake ni tofauti kidogo na hii?
Simon hahaaa mikasi ya hapa naona ni tofauti na ile ya Mangwea.
Acha watu wanyolewe, humo humo ...tutaona mengi!
Post a Comment