Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Saturday 12 November 2011

TUJIKUMBUSHE KIDOGO SIKU NYERERE ALIPOKUTANA NA JOHN F. KENNEDY WHITE HOUSE MWAKA 1963.

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

nimejaribu lakini nimeshindwa sijui shida ipo wapi ila inakatika katika sanaaaaaa...bahati mbaya

EDNA said...

Pole Da YASINTA,jaribu tena nimeweka yenye ubora zaidi.

Goodman Manyanya Phiri said...

Ongea yake Nyerere, kiboko! Anaongea kwa kujiamini, mtu anaejuwa anatoka wapi na anakwenda wapi. Leo tunawapata wengi wakisimama podium moja na Mwamerika wanaamini ni wajibu wao kunyenyekea na kuchekelea hovyo na mtu anachokitoa mdoni hajielewi anasema nini au kaandikiwa tu!!!