Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday 7 May 2012

ARM RECORDS.




ARM RECORDS ni studio iliyokuja kufanya mabadiliko ktk gem ya muziki wa kisasa  tunajishughulisha na uandaaji(production) wa nyimbo aina zote kasoro bolingo
tunapatika maeneo ya y/vituka tunatazamana na shule ya msingi y/vituka unakaribishwa sana ktk hizo picha huyo jamaa aliyeweka nywele breach ni kgt wa g2 na huyo mwingine ni kabo p ndie producer wetu hapa ni mie ndio manager wa studio muda si mrefu utasikia ngoma.
 
NIMETUMIWA NA ADAM MZEE.

0 comments: