

huyu ndio staring mwenyewe aliyechonga mchongo wote na kumshawishi huyu mwanamke kutumia jkitambuluisho chake kufanyia wizi huo wa kimtandaO

mrembo akijitetea kuwa hahusiki kabisa katika wizi huu na pia kujitetea kuwa kaacha mtoto mdogo nyumbani

hapa akitoa mae4leoz kuwa yeye si mwizi na hwafahamu kabisa wahusika wenzaqke na yeye ni mfanyabiashara wa vipodozi![]() |

hiki ndio kitambulisho alichoktaka kutumia huyu mwanamke kuswap line ambayo sio yake lakini aliweka jina la mhusika wa line na namba alizokuwa anapiga maranyingi lainmi sura yake bahati mbaya kwa umakini wa mfanyakaiz mmoja wa tigo kwa jina octavian rweyendera alifanikiwa kubaini udanganyifu huo na kuamuru awekwe chini ya ulinzi mara moja


hiki pia ni kitambulisho cha mteja huyo hapo juu aliyeibiwa pesa kwenye acount yake ya NMB kiasi cha milioni moja kwa njia ya sim banking baada ya mmoja wa hawa watuhumiwa kuja kurudisha yake hii kwa kutumia kitambulisho hiki ambacho kimetengenezwa kwani si halisi na hatimaye kufanikiwa kuiba pesa kwa sim banking baadae

hapa mtuhumiiwa mmoja akiwan kajilaza chini kwa kugoma kutoa maelezo kwa walinzi waliowaweka chini ya ulinzi

hapa huyu binti KILIA kwa uchungu na kuomba asamehewe

wakiwa ndani ya gari ya polisi kuelekea kituo cha polisi buguruni![]() |
umati wa watu uliofurika kushuhudia tukio hilo la aina yake ![]() |

Askari polisi wakisikiliza kwa makini jinsi watuhumiwa hao walivyokamatwA
PICHA NA HABARI NIMETUMIWA NA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG
0 comments:
Post a Comment