Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Saturday 14 September 2013

RAI KWA WADAU NA WASOMAJI WA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG

RAI KWA WASOMAJI NA WADAU WOTE WA MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG
tumebakiwa na siku mbili  kwa muda wa kupiga kura kuisha ambapo ni tarehe 15/9/2013 kufanya blog hii kushinda katika mchakato wa TANZANIA BLOG AWARDS 2013 Na Kuchukua  TUZO ZOTE TATU ambazo ni BEST NEWS BLOG,BEST POLITICAL BLOG,NA BEST GENERAL BLOG

KWA URAHISI zaidi INGIA KWENYE BLOG link hii www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com   NA PEMBENI KUNA LINK ZA KUPIGA KURA KWA KILA CATEGORY kama inavyoonekana katika picha hapo chini

Kama una tatizo linalokutatiza nitakushukuru ukinijulisha
ZAIDI PIGA SIMU AU WHATSAPP NO 0712579102 email krantzcharles@gmail.com

regards
KRANTZ
CTO & AUTHOR
MWANAHARAKATI MZALENDO BLOG

1 comments:

emu-three said...

Tupo pamoja mpendwa, mbona hujasema kuhusu blog yetu ya Strive for Life?