Wowowow..Edna, sio kwasababu upo huko majuu, ndio usahau mila za kikwetu, umemuachia naniii...lol. Nkautakia x-mas njema, na kila kitu tumenunua achilia mbali viungo vya pilau...na hapo nahisi unamezea mate. tukutumie kwenye e-mail nini...lol
Hahaaa. Simon na Emu hamjatulia nyinyi....Jamani huwa napika kila siku ni leo tu na yeye anataka anionyeshe maujuzi yake mweee.By the way mambo ya usawa eboooo.
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
8 comments:
Edna si upike tu Pilau Nyumba inukie?
X-mass Njema mtu wangu!
Ha ha ha! Ät sill,lax,rödbettsallad,potatis köttbullar,prinskorv osv och glöm int julmust:-) GOD JUL EDNA OCH HÄLSA SVÅGER!!
Na wewe pia x-mass njema, hivi huko majuu hawapiki pilau, mnaogopa mtaambiwa mumechafua hali ya hewa...lol
Simon na Emu-Three Pilau huwa napika lakini leo nimemwachia baba mwenye nyumba afanye mambo ya kikwao.
Yasinta: Jag gillar inte sill men annars äter jag allting.
Ha en bra Jul.
Kram.
Weee MDADA wewe nafikiri hukupelekwa KITCHEN PARTY!:-(
Si nasikia MWANAMKE wa KIAFRIKA kupikiwa na MUME wake siku ya sikukuu ni MWIKO?
Niandae nini KITCHENIN party za WADADA wa KIAFRIKA ughaibuni?:-)
Wowowow..Edna, sio kwasababu upo huko majuu, ndio usahau mila za kikwetu, umemuachia naniii...lol. Nkautakia x-mas njema, na kila kitu tumenunua achilia mbali viungo vya pilau...na hapo nahisi unamezea mate. tukutumie kwenye e-mail nini...lol
Hahaaa. Simon na Emu hamjatulia nyinyi....Jamani huwa napika kila siku ni leo tu na yeye anataka anionyeshe maujuzi yake mweee.By the way mambo ya usawa eboooo.
Santaa!!!!! where my gifts at? Its boxing day and I am not boxing anything hahahahha! Hope u had a nice Christmas dear :-)
Post a Comment