God have Mercy on us, what a beautiful day..... Nikitembea kwa makini ukifanya mchezo unakula mueleka bila kupenda..... Hali ya hewa ya leo kwa kweli ilikuwa inaridhisha, licha ya kuwa ilikuwa +1 tuu, but it`s better than -15....lol...
Poleni sana, unanikumbusha yule jamaa aliyejikojolea wakati anajaribu kutafuta nanihii...kwasababu ya baridi kila kitu kinaona baridi , sasa mkojo umebana, mmmh, ikawa shughuli,kufungu makoti, na kumtafuta jamaa alipo, mwisho akajikuta kajikojolea...baridi bwana sio mchezo
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
4 comments:
umenichekesha kweli sijasikia hilo neno kula mweleka siku nyingiiiii. Ila mie nimekuwa kitandani siku nzima hali yangu si njema....
Poleni sana, unanikumbusha yule jamaa aliyejikojolea wakati anajaribu kutafuta nanihii...kwasababu ya baridi kila kitu kinaona baridi , sasa mkojo umebana, mmmh, ikawa shughuli,kufungu makoti, na kumtafuta jamaa alipo, mwisho akajikuta kajikojolea...baridi bwana sio mchezo
Hahahaaa Emu-3 acha vituko,
Da Yasinta pole sana nini tena mama?
And a very beautiful LADY katika PICHA that makes the day even more BOMBA yani ile BABU KUBWA kinoma yani!:-(
Post a Comment