Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Friday 30 July 2010

JANA ILINYESHA MVUA KUBWA HAPA SWEDEN.

Kwa mujibu wa wenye Nchi wanasema haijiwahi kunyesha mvua kubwa kama hii kwa miaka mingi sana.
Maji yalikuwa kila mahali watu walilazimika kuvuka na mitumbwi,...mwaka huu nafikiri kila kitu kilikuwa zaidi ya kawaida, wakati wa winter kulikuwa na snow nyingi kuliko kawaida,summer jua lilikuwa kali sana utafikiri lile la kwetu,na sasa mvua ndiyo hiyo.Wataalam wa hali ya hewa labda wanaweza kutusaidia mabadiliko haya husababishwa na nini.

2 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Ama kweli kuna mabadiliko, ni kweli kuna mvua mno na nasikitika kusema mvua hii imeharibu likizo yangu kwani tulipanga kwenda kupiga hema sehemu lakini sasa tupo tu inabidi tuanza kupanga upya. Men det är gott om kantarell och blåbärr i skogen:-)

chib said...

Inabidi watu mkafanye manunuzi ya mitumbwi sasa.
Yasinta asikate tamaa, wanaweza kupiga camp ya mtumbwi, wakatia nanga haitachukuliwa na mkondo wa maji