Ikiwa leo ni siku ya upigaji kura nchini Tanzania..... Watanzania wote popote pale ulimwenguni tuungane kwa pamoja tuliombee Taifa letu ili uchaguzi uwe wa amani,utulivu na haki.
GOD BLESS TANZANIA.
KANALI MALLASA AWAASA WAHITIMU JKT DHIDI YA UHALIFU
26 minutes ago
3 comments:
Wabariki watu wake pia.!
Amina, twaomba dua ikubalike na matokeo yawe mazuri!
Watu waliopata fursa ya kupiga walifurahi, lakini wale waliokosa majina au kukataliwa walinuna, akiwamo mgombea Ubunge jimbo la Kawe wa NCCR - Mageuzi James Mbatia, kwani jina lake halikuwepo mahali alipojiandikisha!
Post a Comment