Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, 27 April 2010

TABIA YA MTU INAPOHUSISHWA NA KABILA LAKE.

Ni kweli kwamba kuna uhusiano wowote kati ya tabia ya mtu na kabila lake? hususani kwa watanzania..Utakuta mtu akifanya jambo lisilo jema watu watauliza kwani ni kabila gani?
kwa mfano ukisema mwanaume fulani anapenda kupiga mke wake watu watauliza kwani ni mkurya?...Mhaya watasema Mhuni, watu wakutoka Sumbawanga na Tanga watasema ni washirikina, wachaga wanapenda pesa,wahehe wanapenda kujinyonga,Wasukuma ni wakarimu...
Swali ni wangapi tunasikia wakipiga wake zao na si wakurya? au wangapi wanatabia za kihuni na sio wahaya? na nani asiyependa pesa ukamsingizia mchaga ndie nayependa pesa pekeyake? na mengine meeeengi.
Nilipitia Blog fulani nikaona kabila fulani limeshambuliwa sana kwa tabia zao, nikawa najaribu kulinganisha tabia za watu ninaowafahamu na makabila yao nikaona ni tofauti na vile jamii inavyowachukulia.
Binafsi naamini tabia ya mtu haina uhusiano na kabila lake na kama kuna uhusiano basi ni kwa asilimia chache sana.

Tuesday, 20 April 2010

JE WAJUA KUWA MAHALI UNAPOISHI INAWEZA KUWA SABABU YA KUMKOSA YULE UMPENDAYE?


Tatizo kwetu Mbagala ukaona Mapenzi siwezi,Anaitwa Diamond ni kijana anayekuja kwa kasi ya hali ya juu katika muziki wa Bongo flava....Nakutakia kila raheli, kaza buti usilewe sifa.BIG UP.

Monday, 19 April 2010

The World's Youngest Tattoo Artist.

Ruby Dickinson mtoto mwenye umri wa miaka 3 kutoka Uingereza huenda akawa ndiye mchoraji Tattoo mwenye umri mdogo kuliko wote Duniani .Ruby hufanya mazoezi ya kuchora Tattoo kwa kuangalia kazi za baba yake mara tu anaporudi kutoka shule ya chekechea ....Baba yake amemuahidi kumununulia vifaa vya Size ndogo kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa october ambapo atatimiza miaka 4.Blane Dickinon 36 anasema anajivunia kuona biti yake anafuata nyao zake.Like Father like Daughter how nice.

Friday, 16 April 2010

LOVELY WEEKEND!




WABUNGE NA VITUKO BUNGENI!

INDIA...... unakumbuka hii style ya kichapo? inaitwa Bush Style hahaaa.
TURKEY .....Mbunge akisulubiwa
MEXICO..... Mbunge anachukua mkong`oto.
JAPAN .....watu wanahasira wanatamni wammeze.
TAIWAN
RUSSIA.....
Tanzania je? kama wajua style ya wabunge wetu tafadhali tuambiane.

Wednesday, 14 April 2010

THE BEST AND UNIQUE WEB DESIGNS!






A thoroughly professional touch, a sensitive outlook and cost effective solution- this is how we would describe our services in a nutshell. Don�t let the distance deter you in any way. So, whether you want to get a website designed, redesigned or maintained, Contact us. Be sure of prompt and effective services.

The look of your site can make or break you. This is no joking matter. You have only seconds to make that first impression... and if it's not a good one, you've lost a potential customer. Attention to detail and good design sense can go a long way.. and contrary to what someone may have told you, you do not need lots of bells and whistles to entertain your visitors. A simple, well designed site is generally the winning combination.

Each one of our customer has a unique idea regarding the design of his website. We try our best to incorporate that uniqueness into the website that I create. It is our duty to provide our customers with the website that is exactly what they have visualized it to be like. It is the distinct quality of our websites that sets our work apart from another web site designer. Keeping ourself abreast with the latest, contemporary technological tools that help us provide our customers with the best in web designing services. Since We have delved in web designing projects related to diverse fields, We can help you with a strategic website that really boosts up your sales.

We'll contact you via email and let you know about work we've done for past clients and how we can build you a profitable website that's within your budget requirements.

Gregory Mlay
P. O. Box 9573
Dar Es Salaam, Tanzania.
Email: gregorymlay@yahoo.com
Mob: +255(0) 713 500 608

Monday, 12 April 2010

MUNGU NA ASHUKURIWE KWA KILA JAMBO!

Unawakumbuka hawa mapacha walioungana? sasa wamekuwa wakubwa na warembo zaidi. Mungu ni wa ajabu hatuna budi kumshukuru kwa kila jambo atutendealo.
Mapacha wakiwa katika nyuso za furaha,

Picha ikionyesha sehemu za mwili walizoungana.


Thursday, 8 April 2010

MESSAGE SENT!

Kama kuna kipindi cha television nilikuwa sikosi kuangalia katika vipindi vya Television Tanzania basi ni The comedy show, ambao kwa sasa wanajiita Original Comedy Baada ya kuhamia TBC....Napenda style yao ya kufichua yale yaliyojificha katika jamii kwa njia ya vichekesho.Hii husaidia hata wale wenzangu na mimi ambao ni wavivu kusoma magazeti au kusikiliza, kuangalia taarifa za habari, kupata habari kirahisi kwa sababu hawakosi kuangalia kipindi cha Original Comedy kupitia television ya Taifa TBC. Naamini wahusika ujumbe huwafikia lakini kwa kuwa hawana mshipa wa aibu huyapuuza wayaonayo na kusikia kuyafanyia kazi...Tazama hii clip hapa chini.

Kichefuchefu na orijino komedi from mbezi sokoni on Vimeo.video kwa hisani ya Magazeti ya Tanzania via Kennedy.

Tuesday, 6 April 2010

DO WOMEN TALK TOO MUCH?

Hivi ni kweli asilimia kubwa ya wanawake wanaongea sana? Nimekuwa nikisikia nakuona wanaume wakisema usithubutu kubishana na mwanamke bwana, wewe ukiongea maneno mawili yeye tayari kashaongea kumi.....Sasa ni nini husababisha wakaongea sana? au nikuto kujiamini tunatumia maneno kama defensive mechanism? Wanaume tujuzeni maana huenda ndio mnajua zaidi udhaifu wetu katika hili.


Taharuki za ubaguzi zakithiri Afrika kusini!



Kijana wa miaka 15 na mwenzake wa miaka 21 wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo katika eneo la Ventersdrop wakishtumiwa kuhusika na mauaji ya mzungu aliyetetea sera za ubaguzi wa rangi Eugene Terre'Blanche.
Kumeuwepo na uhasama baina ya raia wa kizungu na weusi kufuatia mauji hayo, na wachambuzi wanasema huenda kufunguliwa kwa kesi hiyo kukatuliza uhasama huo.

Mwanasiasa huyo alikatwakatwa hadi kufa hapo Jumamosi usiku katika makaazi yake.

Polisi wanasema mauji ya Terre'Blanche katika shamba lake yalifuatia mzozo kuhusu malipo ya wafanyakazi.

Lakini wafuasi wake wanalaumu uchochezi wa kiongozi wa vijana wa ANC, Julius Malema kuwa chanzo cha mauji yake.
Chanzo BBC.

Sunday, 4 April 2010

HAPPY EASTER!


Wish you all out there a very wonderful Happy Easter....Mungu awabariki wote.