Pages

Subscribe:

Ads 468x60px

Monday 6 June 2011

CHEKA KIDOGO!

Mume ‘ala’ kichapo baada ya kumuita mkewe malayaMWANAMKE alinunua ‘line’ ya simu ili ‘amsapraizi’ mumewe.
Siku moja alikuwa na mumewe sebuleni ambapo yeye alienda chooni na kisha akampigia kwa namba hiyo mpya akasema ‘HALLOW DARLING’. Mwanaume baada ya kubaini anayepiga simu hiyo ni mwanamke, alijibu kwa sauti ya chini ‘KATA NTAKUPIGIA...! HUYU MALAYA WANGU YUKO CHOONI’. Mwanamke alitoka chooni na kuanza kumpiga mumewe akidai kwa nini amemuita malaya.

3 comments:

Goodman Manyanya Phiri said...

Aiseeeh! Tumbo linaniuma tayari! Asante lakini, Dada!!!

Rachel Siwa said...

hhahahaha tena hicho kichapo kitakuwa cha uhakika!!!!!!!

Yasinta Ngonyani said...

Mbavu zangu hazina hali Edna inabidi uanza kazi kwenye hivi vichekesho:-)