du! ningekuwa mimi chali!! hasa hiyo ya chini kabisa.
mtu mmoja aliniambia wanawake wana nguvu sana vichwani ila hawajui tu. eti kuwa silaha yao katika mapigano na wanaume ingefaa iwe kichwa (ndoo). angalia jinsi kazi zao ngumu (na sasa hata urembo mzito) zinafanyika kichwani. kubeba kuni, kubeba maji na sas kubeba mapambo mazito halafu wametabasamu tu.
Naziuliza kweli ni kwa ajili ya kupendeza au? na utalivaa hilo pambo kwa muda gani...Afadhali na ndoo la maji utalitua au mzigo wa kuni utautua na unajua utatumia . Lakini hayo makofia/mapambo kwa mutu kama mimi sielewi kabisa...labda ndo...unaweza kujaza hapo kwenye deshi ukipenda:-)
Tanzania Tanzania
-
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
N...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Katalog Sophie Martin
-
*Katalog Sophie Martin* adalah perusahaan MLM Fashion ternama di Asia. Kami
udah menaikkan pengalaman berbelanja online bagi banyak pelanggan baik di
Indon...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba h...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
7 comments:
du! ningekuwa mimi chali!! hasa hiyo ya chini kabisa.
mtu mmoja aliniambia wanawake wana nguvu sana vichwani ila hawajui tu. eti kuwa silaha yao katika mapigano na wanaume ingefaa iwe kichwa (ndoo). angalia jinsi kazi zao ngumu (na sasa hata urembo mzito) zinafanyika kichwani. kubeba kuni, kubeba maji na sas kubeba mapambo mazito halafu wametabasamu tu.
Hahaaa Mwaipopo umenichekesha sana.
Mtoto Mzuri Edna tuwekee basi picha yako wakati umechakachua kama hao pichani basi!
Kwenu wote akinamama mnaojiremba kama hivyo, afadhali msimle tausi. Ndugu yenu yule!!!
Naziuliza kweli ni kwa ajili ya kupendeza au? na utalivaa hilo pambo kwa muda gani...Afadhali na ndoo la maji utalitua au mzigo wa kuni utautua na unajua utatumia . Lakini hayo makofia/mapambo kwa mutu kama mimi sielewi kabisa...labda ndo...unaweza kujaza hapo kwenye deshi ukipenda:-)
haahhaaha@kaka Mwaipopo na dada Yasinta mmeniacha hoi kwa kicheko!
Urembo kazi,Asante da Edna kwa vibandiko!
Mwaipopo! ha ha haa
Post a Comment