du! ningekuwa mimi chali!! hasa hiyo ya chini kabisa.
mtu mmoja aliniambia wanawake wana nguvu sana vichwani ila hawajui tu. eti kuwa silaha yao katika mapigano na wanaume ingefaa iwe kichwa (ndoo). angalia jinsi kazi zao ngumu (na sasa hata urembo mzito) zinafanyika kichwani. kubeba kuni, kubeba maji na sas kubeba mapambo mazito halafu wametabasamu tu.
Naziuliza kweli ni kwa ajili ya kupendeza au? na utalivaa hilo pambo kwa muda gani...Afadhali na ndoo la maji utalitua au mzigo wa kuni utautua na unajua utatumia . Lakini hayo makofia/mapambo kwa mutu kama mimi sielewi kabisa...labda ndo...unaweza kujaza hapo kwenye deshi ukipenda:-)
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
7 comments:
du! ningekuwa mimi chali!! hasa hiyo ya chini kabisa.
mtu mmoja aliniambia wanawake wana nguvu sana vichwani ila hawajui tu. eti kuwa silaha yao katika mapigano na wanaume ingefaa iwe kichwa (ndoo). angalia jinsi kazi zao ngumu (na sasa hata urembo mzito) zinafanyika kichwani. kubeba kuni, kubeba maji na sas kubeba mapambo mazito halafu wametabasamu tu.
Hahaaa Mwaipopo umenichekesha sana.
Mtoto Mzuri Edna tuwekee basi picha yako wakati umechakachua kama hao pichani basi!
Kwenu wote akinamama mnaojiremba kama hivyo, afadhali msimle tausi. Ndugu yenu yule!!!
Naziuliza kweli ni kwa ajili ya kupendeza au? na utalivaa hilo pambo kwa muda gani...Afadhali na ndoo la maji utalitua au mzigo wa kuni utautua na unajua utatumia . Lakini hayo makofia/mapambo kwa mutu kama mimi sielewi kabisa...labda ndo...unaweza kujaza hapo kwenye deshi ukipenda:-)
haahhaaha@kaka Mwaipopo na dada Yasinta mmeniacha hoi kwa kicheko!
Urembo kazi,Asante da Edna kwa vibandiko!
Mwaipopo! ha ha haa
Post a Comment