Mimi nahisi moja ya udhaifu wa wadada ni ule wakutaka kupendeza!
Na katika nia ya kupendeza tukiachilia HATA maswala ya mchina,... ... nahisi kuna ambao lolote lile ufikirialo kama kuna adaiye litafanikisha kupendeza kuna MDADA anawezashawishika kujaribu na hapa wala siongelei NGUO tu!
Ingawa usijeshangaa ukisikia wafanyao makaa pia ili kupendeza!:-(
Hao wenye utunzi wa vazi la nyoka niwezi wa COPYRIGHT. Waandishi waBiblia watakuja kuwadai mapesa kibao hapo baadaye wakija kufanikiwa katika mtindo huo, kwani Biblia ndio labda ya kwanza kuwuambia ulimwengu kwamba eti Mwanamke na Nyoka ni marafiki wa jadi kutoka enzi hizo za bustani yake Adam naye Hawa!
Ila tu, mke wangu lazima anitaarifu kwanza atarejea nyumbani kwa vazi kama hilo. La sivyo nitazimia bure ninapofungua mlango na kumuona hivyo!
Salutation to The Dawn
-
Look to this day!
For it is life, the very life of life.
In its brief course
Lie all the verities and realities of your existence:
The bliss of growth...
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE
-
Malema booted out, EFF walks - Times LIVE: "
Graphic video shows police open fire on miners - YouTube: 'via Blog this'
(VIDEO IS MERE ADDITION BY BLOG AUTHO...
Promo Indomaret
-
Promo Indomaret - Ribuan obat kedaluwarsa dari tahun 2011 hingga 2016 yang
diduga bernilai miliaran rupiah ditemukan di sejumlah puskesmas di
Kabupaten Nia...
Kikombe Cha Asubuhi; Mathayo 11....
-
* Shalom,Habari za Asubuhi,Hamjambo,Mmeamkaje?Tumshukuru Mungu wetu katika
yote...Asante Mungu wetu kwa wema na fadhili zako kwetuAsante kw...
STAY TUNED... BACK sooon...
-
Its been a year now since my last post on this blog.... nimepata comments
nyingi sana watu wakinisema kuhusiana na ukimya wangu tena wengi
wakinichamba ha...
Wakati wa sikukuu AJALI nje nje!! Hatujifunzi?
-
*Nikiwa safarini toka Kwa Zulu Natal kukimbia foleni ya magari siku mbili
kabla ya Pasaka!!!*
Wakati huu wa pasaka ilikadiriwa kuwa kuna magari 1500 kw...
Stranger
-
Ever seen a stranger infront of your house?
Haha! I just saw this guy talking to the phone, really loud and just funny
the fact that he is outside and I ...
5 comments:
Mimi nahisi moja ya udhaifu wa wadada ni ule wakutaka kupendeza!
Na katika nia ya kupendeza tukiachilia HATA maswala ya mchina,...
... nahisi kuna ambao lolote lile ufikirialo kama kuna adaiye litafanikisha kupendeza kuna MDADA anawezashawishika kujaribu na hapa wala siongelei NGUO tu!
Ingawa usijeshangaa ukisikia wafanyao makaa pia ili kupendeza!:-(
@Simon yap, tunapenda kupendeza lakini kuna mitindo mingine mmmmmh.
Hao wenye utunzi wa vazi la nyoka niwezi wa COPYRIGHT. Waandishi waBiblia watakuja kuwadai mapesa kibao hapo baadaye wakija kufanikiwa katika mtindo huo, kwani Biblia ndio labda ya kwanza kuwuambia ulimwengu kwamba eti Mwanamke na Nyoka ni marafiki wa jadi kutoka enzi hizo za bustani yake Adam naye Hawa!
Ila tu, mke wangu lazima anitaarifu kwanza atarejea nyumbani kwa vazi kama hilo. La sivyo nitazimia bure ninapofungua mlango na kumuona hivyo!
Kila kitu kisizidi,mmmhhh Urembo ukizidi unakuwa tisha toto sasa!!
duh! mi na nyoka mbalimbali..lol!
Post a Comment